🔴 LIVE:Simba SC vs Namungo FC nusu fainali Kombe la Mapinduzi

MTANANGE huu unapigwa baada ya mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi wenyeji wa Jiji la Dar es Salaam, Yanga SC kuondolewa katika nusu fainali kwa penalti 9-8 na Azam FC.
Azam FC ambao ni mabingwa wa kihistoria wa kombe hilo wameiondoa klabu hiyo kupitia mtanange uliopigwa leo Januari 10, 2022 katika dimba la Amaan jijini Zanzibar.

Mshindi kati ya Simba SC wenyeji wa Jiji la Dar es Salaam dhidi ya Namungo FC ambao ni wenyeji wa Mkoa wa Lindi atajumuika na Azam FC katika fainali hapo Januari 13, 2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news