Orodha ya Makatibu wa Wazazi Wilaya walioteuliwa na baadhi ya watumishi wanaokwenda makao makuu

*Pia wapo waliohamishwa vituo vya kazi

NA GODFREY NNKO

KIKAO Maalum cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichokutana Dodoma tarehe 30, Machi, 2022 pamoja na mambo mengine lkilifanya uteuzi wa watendaji wa Jumuiya ya Wazazi ngazi ya wilaya.Sambamba na kufanya uhamisho kwa baadhi ya watendaji wa wilaya na makao makuu kama ilivyoorodheshwa kupitia taarifa hii iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Daniel George kwa niaba ya Katibu Mkuu Umoja wa Wazazi;











Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news