Afisa Utumishi ndiye mlezi wa watumishi wa umma-Waziri Mhagama

NA DIRAMAKINI

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, maafisa utumishi nchini wanapaswa kutambua kuwa, wana umuhimu mkubwa kwa watumishi wa umma katika maeneo yao.
"Katika utumishi wewe ndiye baba na mama katika malezi ya watumishi, hivi kwa nini kwa mwezi usitenge muda ambao hasa utatembelea maeneo ambayo unaona yana shida sana katika sekta yako, kwa mfano katika halmashauri;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news