WANANCHI WAMUOMBEA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

NA DIRAMAKINI

WANANCHI wa maeneo mbalimbali ya jijini Mbeyal leo Mei 31, 2022 wameshiriki Kongamano la Kuliombea Taifa pamoja na kumuombea na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa uongozi bora tangu aingie madarakani.

Katika Kongamano lililoongozwa na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini pia ilishuhudia Rais Samia akizungumza na watanzania kupitia Kongamano hilo kwa njia ya simu ambapo amewaahidi kuendelea kuwatumikia kwa maslahi mapana ya Taifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news