'Tukiwa na wanawake wengi katika nafasi za uongozi ni wazi kuwa taifa litapiga hatua kubwa katika maendeleo'

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuelekeza kuhakikisha wanawake katika Utumishi wa Umma wanajengewa uwezo kiutendaji ili waweze kushika nafasi za uongozi na kufanya maamuzi kwa maendeleo ya taifa.

"Kama wanawake wengi wamefanikiwa kuongoza makampuni na taasisi za umma na zikafanya vizuri, ina maana tukiwa na wanawake wengi katika nafasi za uongozi ni wazi kuwa taifa litapiga hatua kubwa katika maendeleo;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news