WIZARA YA MADINI KUTOA ELIMU KWA WACHIMBAJI NA WAZEE WA MILA ARUSHA

NA DIRAMAKINI

WATAALAAM kutoka Wizara ya Madini leo Juni 3, 2022 watatoa semina maalum kwa wazee wa Mila wilayani Longido Mkoa wa Arusha kwa ajili ya kuelemisha masuala mbalimbali itakayohusu Sekta ya Madini ikiwemo elimu ya Sheria ya Madini, Uchimbaji na usimamizi wa mazingira katika maeneo ya uchimbaji.

Aidha, watatoa elimu kuhusu ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (Local Content) na Wajibu wa Makampuni kwa Jamii zinazonguka migodi (CSR).

Taarifa zaidi itawasilishwa punde

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news