Fahamu mazingira mazuri ya uwekezaji Tanzania chini ya Rais Samia


Tangu Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan iingie madarakani, kuna mabadiliko makubwa yamefanyika katika sekta ya uwekezaji, hatua ambayo imefungua milango kwa wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza mitaji yao katika miradi mbalimbali nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news