'Miradi ya maendeleo Zanzibar inafika kila mahali'

Wazee wa Kojani wakisubiri kumpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi kwa ajili ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Kojani inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, wakati akiendelea na ziara yake Pemba kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mkewe Mama Mariam Mwinyi, akiwasalimia wananchi wa Kojani alipowasili kwa ajili ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Kojani inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na kulia kwa Rais ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mhe. Salama Mbarouk na Mkuu wa Kikosi cha KMKM Zanzibar Commodore Azana Hassan Msingiri.(Picha na Ikulu).  Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia wananchi wa Kojani wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Kojani Pemba inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia wananchi wa Kojani Pemba baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Kojani, inayojengwa kwa Fedha za Uviko -19.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news