Azam FC yamtakia kila la heri Mudhathir Yahya aendako

NA DIRAMAKINI

KLABU ya Azam FC imehibitisha kuachana na kiungo wake wa muda mrefu, Mudathir Yahya Abbas, baada ya mkataba wake kumalizika tangu Juni 30, mwaka huu.
“Tunamtakia kila la heri katika kazi yake ya mpira na tunamkaribisha klabuni kwetu wakati wowote,” imesema taarifa ya Azam FC.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news