India yaadhimisha miaka 75 ya Uhuru

Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi (katikati) akikagua gwaride la heshima kabla ya kuhutubia taifa katika eneo la kihistoria la Ngome Nyekundu (Red Fort) jijini New Delhi wakati wa sherehe za kuadhimisha Siku ya Uhuru wa nchi hiyo Agosti 15, 2022. Jamhuri ya India imeadhimisha miaka 75 ya Uhuru baada ya kujipatia Uhuru wake Agosti 15, 1947 kutoka kwa utawala wa Uingereza.(Picha na AFP).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news