🔴LIVE:MKUTANO WA NHIF NA WADAU MKOANI GEITA

Huu ni utaratibu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kukutana na wadau wake nchini kote kwa lengo la kuwasikiliza, kushauriana na kujadiliana namna ya kuboresha huduma mbalimbali wanazotoa ili ziweze kuwafikia kwa ufanisi.NHIF imejipanga kutoa huduma bora za matibabu kwa wanachama wake zenye unafuu, zinazokubalika na zinazopatikana kwa haraka kupitia vituo vilivyosajiliwa na mfuko kote Tanzania Bara na Zanzibar.
 

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news