Spika Dkt.Tulia ashiriki Mkutano wa 65 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola unaofanyika Canada



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Tulia Ackson ameshiriki Mkutano wa 65 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola unaofanyika Halifax nchini Canada. Mhe. Spika ameambatana na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Bunge la Tanzania ambao ni Mhe. Juma Hija, Mhe. Salome Makamba na Mhe. Aysharose Mattembe.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news