Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Agosti 26,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2710.55 na kuuzwa kwa shilingi 2737.89 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.20 na kuuzwa kwa shilingi 2.26.
Fedha za kigeni.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Agosti 26, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.77 na kuuzwa kwa shilingi 16.94 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 334.70 na kuuzwa kwa shilingi 337.89.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.41 na kuuzwa kwa shilingi 630.62 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.17 na kuuzwa kwa shilingi 148.47

Aidha, Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2293.39 na kuuzwa kwa shilingi 2316.32 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7456.23 na kuuzwa kwa shilingi 7520.52.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2286.28 na kuuzwa kwa shilingi 2310.06.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 216.76 na kuuzwa kwa shilingi 218.86 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 136.28 na kuuzwa kwa shilingi 137.52.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.69 na kuuzwa kwa shilingi 28.97 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.14 na kuuzwa kwa shilingi 19.30.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.61 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.07 na kuuzwa kwa shilingi 2.24 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.92 na kuuzwa kwa shilingi 10.53.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today August 26th, 2022 according to Central Bank (BoT); 

S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 624.4074 630.6172 627.5123 26-Aug-22
2 ATS 147.1666 148.4706 147.8186 26-Aug-22
3 AUD 1597.5728 1614.0118 1605.7923 26-Aug-22
4 BEF 50.2 50.6444 50.4222 26-Aug-22
5 BIF 2.1958 2.2123 2.2041 26-Aug-22
6 CAD 1773.9683 1791.1537 1782.561 26-Aug-22
7 CHF 2377.305 2400.0828 2388.6939 26-Aug-22
8 CNY 334.7032 337.8974 336.3003 26-Aug-22
9 DEM 918.935 1044.5637 981.7494 26-Aug-22
10 DKK 307.5027 310.5361 309.0194 26-Aug-22
11 ESP 12.171 12.2784 12.2247 26-Aug-22
12 EUR 2286.2767 2310.0659 2298.1713 26-Aug-22
13 FIM 340.5884 343.6064 342.0974 26-Aug-22
14 FRF 308.7197 311.4505 310.0851 26-Aug-22
15 GBP 2710.5531 2737.8903 2724.2217 26-Aug-22
16 HKD 292.2665 295.1855 293.726 26-Aug-22
17 INR 28.691 28.9706 28.8308 26-Aug-22
18 ITL 1.0459 1.0551 1.0505 26-Aug-22
19 JPY 16.7743 16.9384 16.8563 26-Aug-22
20 KES 19.1435 19.3027 19.2231 26-Aug-22
21 KRW 1.7162 1.7316 1.7239 26-Aug-22
22 KWD 7456.2265 7520.5195 7488.373 26-Aug-22
23 MWK 2.0741 2.2439 2.159 26-Aug-22
24 MYR 513.0617 517.7291 515.3954 26-Aug-22
25 MZM 35.3373 35.6357 35.4865 26-Aug-22
26 NLG 918.935 927.0843 923.0096 26-Aug-22
27 NOK 237.0156 239.2472 238.1314 26-Aug-22
28 NZD 1427.8622 1442.3724 1435.1173 26-Aug-22
29 PKR 9.9258 10.5288 10.2273 26-Aug-22
30 RWF 2.2047 2.2637 2.2342 26-Aug-22
31 SAR 610.4302 616.2884 613.3593 26-Aug-22
32 SDR 2986.4703 3016.3351 3001.4027 26-Aug-22
33 SEK 216.758 218.8635 217.8107 26-Aug-22
34 SGD 1649.2062 1665.339 1657.2726 26-Aug-22
35 UGX 0.5812 0.6099 0.5955 26-Aug-22
36 USD 2293.3862 2316.32 2304.8531 26-Aug-22
37 GOLD 4031658.1624 4073156.0672 4052407.1148 26-Aug-22
38 ZAR 136.2856 137.5258 136.9057 26-Aug-22
39 ZMW 140.9343 143.1595 142.0469 26-Aug-22
40 ZWD 0.4292 0.4378 0.4335 26-Aug-22


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news