Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 12,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.61 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.
Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.07 na kuuzwa kwa shilingi 2.24 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.57 na kuuzwa kwa shilingi 10.14.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 12, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.84 na kuuzwa kwa shilingi 29.11 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.08 na kuuzwa kwa shilingi 19.24.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2303.75 na kuuzwa kwa shilingi 2327.72.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2650.69 na kuuzwa kwa shilingi 2678.82 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.26.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.73 na kuuzwa kwa shilingi 630.92 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.24 na kuuzwa kwa shilingi 148.55.

Aidha, Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2294.57 na kuuzwa kwa shilingi 2317.52 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7439.29 na kuuzwa kwa shilingi 7511.25.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 215.98 na kuuzwa kwa shilingi 218.09 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 132.63 na kuuzwa kwa shilingi 133.84.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.09 na kuuzwa kwa shilingi 16.25 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 331.58 na kuuzwa kwa shilingi 334.88.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 12th, 2022 according to Central Bank (BoT);

S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 624.7309 630.9267 627.8288 12-Sep-22
2 ATS 147.2429 148.5475 147.8952 12-Sep-22
3 AUD 1566.7353 1582.6344 1574.6849 12-Sep-22
4 BEF 50.226 50.6706 50.4483 12-Sep-22
5 BIF 2.1969 2.2135 2.2052 12-Sep-22
6 CAD 1763.1583 1780.2427 1771.7005 12-Sep-22
7 CHF 2385.4603 2409.0645 2397.2624 12-Sep-22
8 CNY 331.5763 334.8775 333.2269 12-Sep-22
9 DEM 919.4111 1045.1049 982.258 12-Sep-22
10 DKK 309.885 312.9416 311.4133 12-Sep-22
11 ESP 12.1773 12.2848 12.231 12-Sep-22
12 EUR 2303.7525 2327.7171 2315.7348 12-Sep-22
13 FIM 340.7649 343.7845 342.2747 12-Sep-22
14 FRF 308.8797 311.6119 310.2458 12-Sep-22
15 GBP 2650.6922 2678.8214 2664.7568 12-Sep-22
16 HKD 292.3471 295.2669 293.807 12-Sep-22
17 INR 28.8419 29.1101 28.976 12-Sep-22
18 ITL 1.0464 1.0557 1.051 12-Sep-22
19 JPY 16.0921 16.2519 16.172 12-Sep-22
20 KES 19.0817 19.2405 19.1611 12-Sep-22
21 KRW 1.6664 1.682 1.6742 12-Sep-22
22 KWD 7439.2889 7511.2465 7475.2677 12-Sep-22
23 MWK 2.0758 2.2408 2.1583 12-Sep-22
24 MYR 510.359 515.0044 512.6817 12-Sep-22
25 MZM 35.3555 35.6541 35.5048 12-Sep-22
26 NLG 919.4111 927.5645 923.4878 12-Sep-22
27 NOK 230.7009 232.9377 231.8193 12-Sep-22
28 NZD 1398.543 1413.4554 1405.9992 12-Sep-22
29 PKR 9.5704 10.1406 9.8555 12-Sep-22
30 RWF 2.1906 2.2632 2.2269 12-Sep-22
31 SAR 610.6977 616.6077 613.6527 12-Sep-22
32 SDR 2976.6824 3006.4492 2991.5658 12-Sep-22
33 SEK 215.9823 218.0949 217.0386 12-Sep-22
34 SGD 1639.0987 1655.3715 1647.2351 12-Sep-22
35 UGX 0.5786 0.6072 0.5929 12-Sep-22
36 USD 2294.5742 2317.52 2306.0471 12-Sep-22
37 GOLD 3947562.6064 3987988.4156 3967775.511 12-Sep-22
38 ZAR 132.6305 133.8407 133.2356 12-Sep-22
39 ZMW 146.8219 147.5563 147.1891 12-Sep-22
40 ZWD 0.4294 0.438 0.4337 12-Sep-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news