Naibu Spika Zungu ashiriki maziko ya Mbunge wa Jimbo la Amani

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu ameshiriki katika maziko ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani (CCM) Mhe. Mussa Hassan Mussa yaliyofanyika jioni ya Oktoba 13, 2022 Kijijini kwao Bwejuu, Zanzibar.

Mheshimiwa Mussa Hassan Mussa ambaye alizaliwa Februari 11, 1959 amefariki Oktoba 13, 2022 ambapo alihudumu katika nafasi ya ubunge kupitia chama hicho kwa nyakati tofauti.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news