Rais Dkt.Mwinyi ateta na wazee kutoka Tumbatu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika mazungumzo na Wazee kutoka maeneo ya Tumbatu Gomani, Uvivini, Chwaka na Jongoe, katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyotoa kwa wazee hao wakati wa ziara alizozifanya hivi karibuni katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.(Picha na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news