KOCHA WA MAKIPA SIMBA, WENZAKE WAKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA


Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA),Bw. Gerald Kusaya ametangaza Watuhumiwa tisa wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Sultan kuhusika kukamatwa na dawa za kulevya aina ya Heroin yenye jumla ya Kilo 34.89.

Kusaya ameyasema hayo leo Novemba 15,2022 wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.Taarifa zaidi zinakujia hapa

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news