Maafisa wa Ubalozi wa China watembelea JKCI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Angella Muhozya akimuonesha moja ya chumba cha kulipia (VIP) Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa.
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mfumo wa umeme wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Yona Gandye akielezea huduma zinazotolewa katika chumba cha upasuaji wa moyo wa bila kufungua kifua (Cathlab) wakati Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea JKCI kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na taasisi hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt.Angella Muhozya akimuelezea huduma zinazotolewa na taasisi hiyo, Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea JKCI kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolwea na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt.Angella Muhozya akiwa katika picha ya pamoja na Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea JKCI kwa ajili ya kuangalia huduma zinazotolewa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news