Niliteswa na ndoto za kichawi kwa miaka 10

NA MWANDISHI WETU

NAITWA J.J Moli, familia yetu ina uwezo mkubwa sana tu kifedha, licha ya hilo sikuwa na amani kwa kipindi cha miaka 10 kutokana na kusumbuliwa na ndoto za kichawi kila mara.
Tatizo hili lilianza nilipokuwa kidato cha pili katika shule ya kulala, kila mara nilikuwa
nashtuka na kujikuta nimetokwa na jasho jingi sana kiasi cha kulowesha kitanda.

Muda mwingine rafiki zangu walikuwa wananiambia kuwa nilikuwa napiga kilele
usingizini na kuzungumza mambo yasiyojulikana ni kutoka lugha gani hapa duniani.

Hali iliendelea hadi nilipomaliza Chuo Kikuu, jambo hilo lilinifanya nishindwe hata kwenda kulala kwa rafiki zangu au ndugu.

Nilizunguka sehemu mbalimbali kutafuta tiba ya tatizo hilo bila mafanikio yoyote yale,ilifikia kipindi nikakata tamaa maana niliona ni fedha tu namalizia,lakini hakuna
mabadiliko yoyote.

Hali ilikuwa mbaya zaidi pale nilipooa, nilikuwa napiga sana kelele usiku, mke wangu alikuwa akihuzunishwa na tatito lile sana kiasi kwamba akawa anafikia hatua ya kulia.

Maneno niliyokuwa naongea ambayo watu walikuwa ananiambia kuwa hayaeleweki
yalipelela mke wangu kuamua kurudi kwao.

Nikiwa nimesalia pekee yangu nyumbani, nilipenda ku-google mambo mbalimbali
kuhusu namna ya kudbibiti uchawi, ndipo nikajikuta nimeingia kwenye tovuti ya Dr.
Kiwanga ambayo nilisoma zaidi kuhusu huduma zao na nikagundua kuwa wanaweza kunisaidia.

Bila kusita niliamua kuchukua namba ya Dr. Kiwanga ya +254 769404965 na
kuwasiliana naye, mara moja aliniambia kuwa anafahamu tatizo langu ndipo akaanza kulishughulikia.

Tangu siku ile nimewasiliana naye, sikuwahi tena kuota ndoto za kichawi
kama ilivyokuwa hapo awali, nilikuwa nikilala usingizi mnono sana ambao niliukosa kwa miaka 10.

Niliamua kumfuata mke wangu na kumwambia kwa sasa nimepona na nipo sawa, aliamua kurejea nyumbani, baada ya wiki moja aliniambia kweli kwa sasa ameona mabadiliko makubwa katika maisha yangu kwani usiku sishtukia usingizini kama hapo awali.

Kumbuka Dr. Kiwanga anatatua migogoro ya mashamba, kukuwezesha kuwa na bahati maishani, mvuto wa kibiashara na mengineo mengi. Kwa ufupi Dr. Kiwanga huyu ndiye bora zaidi kwenye ukanda huu wa Afrika ya Mashariki kwa ajili ya weledi wake wa kusuluhisha shida mbalimbali kwa muda mfupi. Waweza kumpata kupitia simu kwa namba +254 769404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news