Nilikuwa nalala kitandani, ninaamkia makaburini asubuhi

NA MWANDISHI WETU

KATIKA umri wanngu nimekuja kuthibitisha kuwa, uchawi ni kitu ambacho kipo na kinafanya kazi kwa nguvu za ajabu tofauti na baadhi ya watu wanavyozungumza wakidai kuwa hakuna uchawi.

Ndugu zangu, uchawi upo, mimi nimeushuhudia dhahiri kwenye maisha yangu kiasi kwamba naweza kutoa ushuhuda sehemu yoyote ile kuwa uchawi upo na unatenda mambo yake.

Jina langu ni Mwalimu Nondo, nafundisha shule za msingi, mwaka 2013 nilihamishiwa kikazi katika kijiji fulani, huko ndipo niliamini huku duniani kuna uchawi.

Baada ya kuanza kazi kwa kipindi cha wiki mbili, nilijikuta asubuhi ya saa 12:15 ninaamka nipo makaburini, nilishangaa sana siku ya kwanza maana nililala katika kitanda changu na kufunga mlango vizuri.

Hali hiyo ilinitokea tena siku iliyofuata, na ukawa ndio utamaduni wa kila siku kuamkia makaburini. Kuna siku nilisema silali hadi nimuone huyo anayekuja na kunichukua kunipeleka makaburini, nilikaa macho hadi alfajiri ya saa 10, hapo nilizidiwa na usingizi na kujikuta nimelala usingizi.

Ghafla niliposhtuka nikajikuta nipo makaburini, na hapo ndipo uvumilivu uliponishinda na kuamua kuwaeleza walimu wenzangu niliowakuta pale.

Walimu wale waliniambia hata wao mwanzoni walikumbana na changamoto hiyo,walisema baadhi ya wazazi katika eneo hilo hawataki watoto wao wasome bali wanataka wakae nyumbani wakichunga ng'ombe.

Sasa baadhi yao ndio wamekuwa wakifanya vitendo hivyo vya kishirikina ili walimu wote waondoke na shule ifungwe.

Hakika nilistaajabu jamii ile ambayo haikutaka kuwekeza katika elimu ya watoto wao bali kwenye ushirikiana, walimu wale waliniambia baada ya wao kusumbuliwa sana walipata usaidizi kutoka kwa Dr. Kiwanga ambaye aliwawekea ulinzi na sasa hawaguswi ena na uchawi kwa namna yoyote ile.

Niliwaambia wanipeleke nami kwa Dr. Kiwanga, wakasema sio lazima nifike kwake, kwani naweza kuwasiliana naye kwa namba hii +254 769404965 na nikapata huduma kama wao.

Nilimpigia na kumueleza shinda yangu, alinisikiliza kwa makini na akanipatia tiba na tangu kipindi hicho nafundisha shule hiyo na hakuna uchawi unaojaribu kunigusa.

Ukiachana na hayo, kumbuka Dr. Kiwanga anaweza kukuwezesha kushinda bahati nasibu, kukuondolea migogoro ya mashamba, migogoro ya mapenzi, kuikinga biashara yako na kukupa mvuto wa kimapenzi.

Pia Dr. Kiwanga anatibu magonjwa kama presha, kifafa, kisonono, kaswendwe, upungufu wa nguvu za kiume na mengineo, watembelee leo upate suluhu kwa matatizo yanayokutatiza.

Kwa maelezo zaidi mcheki kwa namba +254 769404965 kwa kumpigia simu moja kwa moja au kupitia Whatsapp utapata usaidizi wa haraka.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news