'Leo nakupa raundi mbili tu, sitaki cha umbea wako anikute, tukutane kwangu jioni'

NA MWANDISHI WETU

NIMEISHI na mume wangu kwa miaka mitatu, kwa muda huo nimekutana na mambo mengi sana hadi hatua ya kushindwa kula na kupata usingizi kutokana na visa ambavyo alikuwa ananifanyia.

Nilifanya kila namna ili niweze kutambua kosa langu lilikuwa lipi hasa, lakini sikuweza kufanikiwa, bado mume wangu aliendelea kuleta visa pale nyumbani hadi mwenyewe nikashindwa kutambua nini tatizo hasa.

Kuna siku mume wangu hakwenda kazini kwa sababu hali ya kiafya haikuwa nzuri kabisa, ndipo rafiki yangu Halima alikuja nyumbani kumuona mgonjwa, Halima alileta chakula, matunda na soda.

Baada ya dakika chache mume wangu akaniagiza dukani kumleta maji ya baridi, niliporudi nikakuta Halima anamlisha mume wangu matunda sikuweza kufikiria vibaya maana mume alikuwa anajua Halima ni rafiki yangu.

Halima alikuwa anakuja pale nyumbani kila siku hadi mume wangu alipopona, hali ile ilianza kunitia wasiwasi, ndipo nikaanza kuchunguza na kwa marafiki zangu wengi hadi nilipokuja kugundua kuwa mume wangu na Halima wana uhusiano.

Siku moja jioni nikiwa Facebook niliona mtu mmoja ametoa ushuhuda jinsi alivyoweza kusaidiwa na African Doctors kupata mchumba kutoka Marekani hadi wakafunga ndoa, katika stori yake alikuwa ameandika namba ya African Doctors ambazo ni +254 769 404965, nilichukua na kuwasiliana naye.

Nashukuru alinihudumia na kuniambia yeyote anayetaka kuivuruga ndoa yangu lazima atapatwa na jambo baya ikiwa ni pamoja kumkamata kwa mikono na macho yangu.

Siku ya pili yake asubuhi mume wangu alisema hajisikia vizuri na kuniagiza niende ofisini kwake nimletee Laptop yake, bila kukawia nikajiaandaa na kwenda, nikiwa njiani African Doctors alinipigia na kuniambia nisiwe mbali na nyumbani kwangu siku hiyo.

Nilichukua bodaboda haraka hadi ofisini na kurudi haraka nyumbani, kabla ya kufika mlangoni kwangu niliona viatu vya Halima mlangoni, niliposongea zaidi nikasikia sauti ya Halima akisema; "leo nakupa raundi mbili tu, sitaki cha umbea wako anikute, tukutane kwangu jioni."

Baada ya hayo maneno nikaingia chumbani haraka na kumkuta Halima na mume wangu wakiwa kitandani wakifanya mapenzi, nilimkamata Halima na kumnasa vibao na tangu wakati huo kaachana na mume wangu kabisa.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news