Makamu wa Rais azindua mradi wa REA Kijiji cha Sale

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akikata utepe katika nyumba ya Mama Gladness Gilole iliopo Kijiji cha Sale kuashiria kuzindua mradi wa umeme vijijini (REA) katika vijiji mbalimbali vya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha leo tarehe 17 Mei 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi, Wananchi pamoja na familia ya Mama Gladness Gilole iliopo Kijiji cha Sale mara baada ya kuzindua mradi wa umeme vijijini (REA) katika vijiji mbalimbali vya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha leo tarehe 17 Mei 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasha taa katika nyumba ya Mama Gladness Gilole iliopo Kijiji cha Sale mara baada ya kuzindua mradi wa umeme vijijini (REA) katika vijiji mbalimbali vya Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha leo tarehe 17 Mei 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news