Miradi ya REA yaendelea kuwanufaisha wananchi Morogoro

NA MWANDISHI WETU
Morogoro

WAKAZI wa Mkoa wa Morogoro wameendelea kuneemeka na miradi inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuunganishiwa umeme katika huduma za kijamii kama shule na zahanati huku umeme ukitumika pia kuinua uchumi wa maeneo husika kutokana na kuanzishwa kwa baadhi ya biashara zinazotegemea zaidi upatikanaji wa huduma hiyo.
Pichani ni Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bi. JANETH MBENE walipotembelea baadhi ya huduma za kijamii zilizofaidika na Miradi ya umeme vijijini kama shule na zahanati ili kujionea namna inavyowafaidisha wakazi wa Mkoa wa Morogoro, Mei 11, 2023.
 

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news