Sasa hakuna mwanaume anaweza kutembea na mke wangu

NA MWANDISHI WETU

UKWELI ni kwamba hakuna mwanaume yoyote ambaye anapenda sehemu ambayo anachovya pia mwanaume mwingine aje achovye tena kiurahisi tu.

Sisi wanaume siku zote ni walizi pia walezi wa wake zetu ndio maana umkitoa mke kwao wazazi wake wanakukabidhi mtoto wao kwa upendo, hivyo tuna jukumu la kuwalinda hadi tutakapotoka hapa duniani. Ila jambo baya sana ni pale mwanamke wako anaposhindwa kutambua jukumu lake kwake.

Nina miaka 23 tangu nimuoe mke wangu mpendwa, ndani ya hiyo miaka nimekutana na changamoto kubwa sana kutoka kwa mke wangu pia siwezi sema kuwa nimekutana na mabaya pekee yake ila yapo mazuri nimeyapata kutoka kwake.

Amenizalia watoto watano pia amenipa ushirikiano kwa namna moja au nyingine katika maendeleo niliyonayo kwa sasa, nilimuoa nikiwa sina hata kiwanja, maisha yangu ya kiuchumi yalikuwa chini ila baada ya kumuoa nimepata maendeleo hadi tukajenga nyumba ya kuishi.

Haikutosha, pia tukajenga na nyumba ya kupangisha pamoja na kununua gari la kutembelea, hivyo naheshimu ushirikiano wake kwa sababu nilikuwa natoka kifuani mwake asubuhi na kwenda kutafuta ridhiki na yeye anabaki nyumbani akiniombea dua nzuri ya mafanikio ndio maana niliweza kupiga hatua hadi tulipo kwa sasa.

Katika ndoa kuna siri kubwa ila jinsi unavyozidi kuishi na mwenzako inafika hatua mnakuwa kama ndugu pia kutambua udhaifu wa mwenzako uko wapi.

Hivyo ndani ya hiyo miaka 20 niliweza kutambua udhaifu wa mke wangu kisha nikapata njia ya kuweza kutatua hilo tatizo ili mradi tuweze kuishi kwa amani na furaha.

Udhaifu wake wote nilivumilia pia najua naye kuwa kuna udhaifu alivumilia ila kuna vitu vingine unaweza kushindwa kuvumilia kama mwanaume haswa unapojua mke wako ana tabia ya kutoka nje ya ndoa!.

Siku moja nilishika simu yake nikakuta ujumbe kutoka kwa jamaa moja anaitwa Aidari, jina Aidari lilikuwa sio geni kwangu kwa sabubu mke wangu kabla sijamuoa aliniambia kuwa Aidari ndo ex-boyfriend wake.

Ila nilipogundua wanawasiliana na Aidari wakati tayari yeye ni mke wangu, niliumia sana, niliamua kumuita Shangazi yake na Kaka yake kisha wakamkanya kuhusu hiyo tabia.

Nilipata amani na utulivu kwa muda wa miezi sita pekee, baada ya hapo mke wangu alianza kubadilisha passwords za simu yake kila mara na kuweka simu yake mbali sana haswa nikiwa karibu na yeye.

Hiyo hali ilinipatia wasiwasi tena nikahisi mke wangu kuna mtu amempata ndio maana anafanya hivyo japo mimi sikumuonyesha kuwa kuna kitu nahisi kutoka kwake.

Nilianza kufuatilia taratibu na hatimaye nikagundua kuwa ana mahusiano na Baba mwenye nyumba japo sikuwa na ushahidi wa kutosha, hivyo ilinibidi nivumilie tu.

Siku moja jirani yangu akaniambia kuwa kuna mtu ambaye anaweza nisaidia kupata jibu sahihi kwa sababu hata yeye wenyewe hapendi kuona mke wangu analala na Baba mwenye nyumba kwa sababu Baba mwenye nyumba anaweza lala na wake zao pia.

Alinipatia namba za African Doctors ambazo ni +254 769 404965 kisha nikawasiliana nao, katika mazungumzo yetu nilimwambia kuwa sina uwezo wa kufika Kenya kwa sababu mimi nipo Tanzania japo nahitaji msaada wake maana nimechoka tabia ya mke wangu pia mke wangu mimi nampenda sana, hivyo siko tayari kuona mwanaume yoyote anachezea pale.

African Doctors alinijibu kuwa uwezo wa kunisaidia mimi bila kufika ofisini kwake, aliniuliza maswali mawili kisha nikamjibu vizuri ndipo alikubali kufanya kile ambacho nilimuomba.

Na kweli baada ya siku kadhaa ambazo Africa Doctors aliahidi kuwa mambo yatakuwa sawa, basi ilikuwa hivyo, na sasa hivi mke wangu katulia simu yake naishika bila shida yote, kwa ufupi amekuwa kama nilivyotaka awe mke wangu.

Vile African Doctors wana dawa za kufukuza mashetani, dawa ya kupata mtoto, dawa ya nguvu za kiume, dawa ya kurudisha nyota yako, dawa ya mapenzi kwa masaa 24 pekee, dawa ya kumwamisha adui na dawa ya wazinifu kukamatwa kwa siku tatu pekee.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news