Picha ya leo katika Mkutano wa Rasilimali Watu Afrika


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Deogratius Ndejembi (wa kwanza kulia) akiwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt.Mwigulu Nchemba, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt.Stergomena Tax na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega katika picha ya pamoja mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimaliwatu uliofanyika JNICC jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news