Uzi mpya wa Namungo FC ndiyo habari ya mjini



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 18, 2023 ameshuhudia uzinduzi wa jezi ya Timu ya mpira wa miguu ya Namungo ya msimu wa 2023/2024. Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Lindi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news