Waziri Mkuu akikagua miradi ya maendeleo Mtwara


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Mhandisi Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Muharami Kilihindi, wakati alipokagua shughuli za ujenzi wa Kituo cha Afya Mkunwa Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akzungumza na wananchi wa Nanguruwe wilayani Mtwara vijijini, Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mganga Mkuu wa Wilaya Mtwara Vijijini, Dkt. Matayo Malaika, wakati alipokagua shughuli za ujenzi wa Kituo cha Afya Mkunwa Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia dirisha, wakati alipokagua shughuli za ujenzi wa Kituo cha Afya Mkunwa Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Mhandisi Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Muharami Kilihindi, wakati alipokagua shughuli za ujenzi wa Kituo cha Afya Mkunwa Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi, ujenzi wa jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya Mtwara-Mkunwa, Julai 08, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news