Rais Dkt.Mwinyi awaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar aliowateua hivi karibuni.





Katika hafla hiyo, majaji hao ni Mhe.Khadija Shamte Mzee, Mhe.Salum Hassan Bakari, Mhe.Haji Suleiman Khamis.

Hafla hiyo ilifanyika Ikulu Zanzibar tarehe 16 Novemba 2023.Viongozi mbalimbali wa Serikali, Dini na Vyombo vya ulinzi na usalama walihudhuria hafla hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news