Rais Dkt.Samia,Frank-Walter Steinmeier wazungumza na wanahabari


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara ya mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier nchini Tanzania. Mkutano huo na Waandishi wa Habari umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier akizungumza kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara yake nchini Tanzania. Mkutano huo umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Wageni mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier pamoja na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier wakati wa Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Ujerumani uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Sehemu ya Ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika Kongamano la Wafanyabiashara kati yao na Ujerumani lililofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Sehemu ya Ujumbe wa Ujerumani ulioshiriki katika Kongamano la Wafanyabiashara kati yao na Tanzania lililofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani Mhe. Dkt. Frank-Walter Steinmeier wakati wa Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Ujerumani uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Oktoba, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news