MAAFA KATESH:Kanisa la International Evangelism lakabidhi shilingi milioni 10 kwa Waziri Mkuu


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa jana Disemba 18,2023 amepokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania , Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum (kulia) na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Dkt. Mhasa Ole Gabriel kwa ajili ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea Katesh wilayani Hanang. Makabidhiano yalifanyika kwenye Makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijni Dar es salaam. Fedha hizo zimetolewa na Kanisa la International Evangelism lenye makao yake makuu jijini Arusha linaloongozwa na Askofu Dkt Eliud Isangya.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news