Waziri Pembe,Mwanaidi na Dkt.Ellen katika kikao cha UN Women nchini Marekani


Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ( SMZ), Mhe. Riziki Pembe Juma ( kati), Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ( SMT),Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ( kushoto) na Dr Ellen Otaru Okoedion, Mwenyekiti wa Journalists Association of Tanzania (JET) wakiwa katika kikao baina ya Shirika la Kimataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake Duniani (UN Women) na Mawaziri wa Africa wanaoshughulikia masuala ya wanawake kuhusu usawa wa jinsia katika Ukumbi wa European Unions jijini New York,Marekani, kikao hicho kimefanyika Machi 20,2024

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news