Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 17,2024

DODOMA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) amesema ofisi yake imejipanga vyema Kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024, kwa kushirikiana na Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo tarehe 16 Aprili, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha makadilio ya Bajeti na mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024/25.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news