
Mtoto alikojoa kitandani kila usiku,lakini...
SIKUWAHI kufikiria kwamba siku moja ningelazimika kusimulia hadithi ya namna hii. Mimi ni mama wa mtoto mmoja, Kelvin, mwenye umri wa miaka saba. Kwa muda mrefu, nilihangaika kumsaidia kuondokana na tabia ya kukojoa kitandani.
Nilijipa moyo kuwa ni hali ya kawaida kwa watoto wengine kuchelewa kukomaa, na nilijitahidi kuwa mvumilivu, nikiamini kwamba muda ukifika kila kitu kingeenda sawa.

Lakini siku moja, kitu ndani yangu kiliniambia kuwa huenda kuna zaidi ya kile nilichokiona. Kelvin alikuwa na hofu isiyoelezeka kila ilipofika usiku.
Mara nyingine alikuwa akitetemeka hata bila sababu, na mara nyingine alikuwa analia usingizini. Nilihisi kuna kitu hakikuwa sawa, lakini sikujua ni nini.
Usiku mmoja niliamua kulala kwenye chumba chake, nikijifanya kwamba nataka kumsindikiza kulala. Lakini ukweli ni kwamba...SOMA ZAIDI HAPA
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo