Dkt.Possi afungua Kikao cha Faragha cha Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali


Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akiwasili kufungua Kikao cha Faragha kwa cha Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kilichofanyika mkoani Morogoro. Wa kwanza kushoto ni Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akifungua Kikao cha faragha kwa viongozi hao kilichofanyika mkoani Morogoro.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akichangia mada kuhusu Mpango na Bajeti wakati wa Kikao cha Faragha kwa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kilichofanyika mkoani Morogoro.
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akizungumza na Menejimenti wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa Kikao cha Faragha kilichofanyika mkoani Morogoro.
Mtaalamu wa Mipango na Bajeti ndugu Peter Sobe akitoa mada kuhusu Mipango na Bajeti kwa Wajumbe wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa Kikao cha Faragha kilichofanyika Morogoro.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, ndugu Camilius Ruhinda akizungumza wakati Kikao cha Faragha kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi hiyo kilichofanyika Morogoro.
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi wakati akifungua Kikao cha Faragha kwa wajumbe hao kilichofanyika Morogoro.
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt, Ally Possi (aliyesimama katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua Kikao cha Faragha kwa wajumbe hao kilichofanyika Morogoro.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news