Magazeti leo Mei 9,2025

DODOMA-Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amesema Serikali imeamua kuanzisha mfumo wa kulipia huduma ya maji kwa njia ya Prepaid ili kupunguza malalamiko ya wananchi kuhusu bili zisizoeleweka wanazotozwa kwa huduma hiyo.Akizungumza bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Waziri Aweso amesema kuwa mfumo huo utamwezesha mwananchi kulipa maji kulingana na matumizi halisi, badala ya makadirio yasiyo sahihi.










Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news