Breaking News:Ajali basi la Hai yaua tisa Morogoro

MOROGORO-Watu tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hai lenye namba za usajili T523 EKM kugongana na lori lililokuwa limebeba shehena ya sukari lenye namba za usajili T406 CZS-T804 BUB.
Ni katika eneo la Kijiji cha Lugono Melala huko Barabara Kuu ya Morogoro kuelekea mkoani Iringa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo. Taarifa zaidi zitakujia hapa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news