Magazeti leo Juni 10,2025




Mume aliniacha baada ya kupoteza kazi lakini sasa nimemrusha kwangu

TULIISHI pamoja na mume wangu Sam katika mji wa Arusha ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi katika jiji lile. Mume wangu naye alifanya kazi ya uhandisi katika Wizara ya Ujenzi kwenye mkoa huo.

Maisha yetu yalikuwa ya kutamaniwa kwani hakuna wakati hata moja tuligombana na mume wangu kwani hali ilikiwa shwari kabisa.
Wakati mwingine nilimpa mume wangu hata pesa za matumizi na yeye pia alinipa pesa kidogo kutoka kwenye mshahara wake. Hali ilikuwa ni nzuri zaidi, kwani upendo ulikuwa umetufikisha pazuri.

Siku moja nilienda ofisini na nikakumbana na barua fulani kwenye meza yangu. Niliifungua na kuisoma na hapo nikakumbana na ujumbe kwamba hospitali ile ilikuwa ishanionyesha mlango wa kutokea na nilitakiwa nifuate masharti yale kabla siku haijhakamilika...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news