Magazeti leo Juni 13,2025

NDOA hukumbwa na changamoto mbalimbali ambazo hutokea bila ya wanandoa kujua au kuwa kinyume na matarajio yao, katika mila na desturi za kiafrika kupata mtoto huwa ni ishara kwamba ndoa imekamilika.

Mtu anapokosa mtoto katika mila zetu huwa ishara kwamba hawezi kuheshimiwa kabisa kulingana na makabila mengi hapa Afrika.

Nilikuwa katika ndoa na mume wangu, Barack ambaye tuliishi kwa amani na hakuna lolote liloonekana kwamba lingetutenganisha kwa wakati wowote ule.
Maisha yalikuwa mazuri hadi wakati ambapo niligundua kwamba sikuwa na uwezo wa kupata mtoto kwani nilikuwa tasa suala ambalo mume wangu alilipokea kwa hali nzuri kwani aliniahidi kwamba angenisaidia kwa hali yoyote kwani alikuwa ananipenda kama mke wake.

Siku zilisonga na ndugu wa mume wangu walianza kejeli, tulikuwa tukiishi na mume wangu nyumbani kwao na hivyo ndugu wake walikuwa karibu nasi kila wakati. Mara mama mkwe alianza kila mara ugomvi nami huku akifoka kwamba hakutaka kukaa na wanawake tasa.

Ama kwa hakika nilifahamu huu ulikuwa ni uchokozi ambao mama mkwe wangu aliniletea, mara nyingi nilimsikia...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news