Magazeti leo Juni 29,2025

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson Juni 28, 2025, amechukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo jipya la Uyole kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hatua hiyo imefanyika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya Mjini, ambapo Dk. Tulia ameonyesha dhamira ya kuendelea kuwatumikia wananchi wa Mbeya kwa nafasi mpya ya kisiasa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news