Magazeti leo Juni 9,2025



Alishindwa kuolewa kwa miaka mingi kwa sababu ya kifungo cha kishirikina kilichoondolewa hivi karibuni

NILIPOFIKISHA miaka thelathini, nilianza kuhisi shinikizo kutoka kila upande.

Marafiki zangu wa karibu walikuwa wameshaolewa, baadhi walikuwa na watoto wawili au watatu, huku mimi nikiendelea kuishi kwa mama yangu kama msichana mdogo. Sio kwamba sikuwa napendwa, la hasha.
Nilikuwa nakutana na wanaume wazuri, wanaonipenda na kuniahidi ndoa, lakini kila safari ilipofikia hatua ya kuzungumza kuhusu mahari au mipango ya harusi, mambo yaliharibika ghafla.

Mwingine alipotea tu bila sababu, mwingine alinitukana bila kosa, na mwingine aliniambia ameamua kurudi kwa ex wake. Ilikuwa ni kama laana fulani isiyoeleweka...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news