Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushiriki katika Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC)

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itashiriki kwenye Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) katika Viwanja vya Maturubai Mbagala jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 16 hadi 25 Juni, 2025.Wananchi wote mnakaribishwa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news