Rais Dkt.Mwinyi ashiriki sala ya Eid Al Adha

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid Al Adha iliyosaliwa Masjid Taqwa, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar leo Juni 7,2025.
Mapema baada ya sala hiyo, Rais Dkt. Mwinyi alifika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja kuchinja mnyama(Udh-hiya) ikiwa ni sehemu ya Ibada na kutoa mkono wa Eid kwa Masheikh wa Mkoa huo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news