Magazeti leo Julai 21,2025

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Samia Suluhu AFCON Arusha umefikia asilimia 51, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 yatakayofanyika nchini Tanzania.














Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi ameyasema hayo Julai 20,2025 jijini Dodoma wakati akiwasilisha mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita katika mkoa huo mbele ya waandishi wa habari.
Kihongosi amesema,Serikali imetumia shilingi bilioni 298 kufanikisha ujenzi huo kama sehemu ya mkakati wa kukuza sekta ya michezo na utalii, huku uwanja huo ukitarajiwa kuwa kivutio kikubwa cha kimataifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news