Tanzania mwenyeji wa Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Siasa,Ulinzi na Usalama wa SADC

DAR-Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama (MCO).
Mkutano wa Mawaziri umepangwa kufanyika kuanzia Julai 21 hadi 25, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

Mkutano huu wa ngazi ya juu unalenga kuwaleta pamoja wadau wakuu kujadili na kushughulikia masuala ya kikanda yanayohusiana na siasa, ulinzi na ushirikiano wa kiusalama katika kanda ya SADC.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news