Chuo cha Taifa cha Hali ya Hewa chashauriwa kujitangaza zaidi

DODOMA-Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkalama Singida, Bi.Happyness Sulle ameshauri uongozi wa Chuo cha Taifa cha Hali ya Hewa www.nmtc.ac.tz kuongeza wigo wa kujitangaza na kufikiria hitaji la kuongeza kampasi katika maeneo ya mikoa mingine ili kuweza kuwafikia wahitaji wengi zaidi katika taaluma ya masuala ya hali ya hewa.
Hayo yamezungumzwa leo alipotembelea banda la TMA katika maonesho ya kitaifa ya wakulima Nanenane 2025 yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news