INEC yamkabidhi Dkt.Samia Suluhu Hassan fomu za uteuzi leo

DODOMA-Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tannzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwa katika ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) mkoani Dodoma akichukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imefungua rasmi zoezi la wagombea wa kiti cha urais kwa vyama vya siasa leo Agosti 9,2025 kuchukua fomu za uteuzi ambapo Rais Dkt. Samia na Mgombea mwenza, Dkt.Emmanuel Nchimbi wamefungua pazia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news