Magazeti leo Agosti 17,2025

TIMU ya Taifa ya soka ya Tanzania ya Taifa Stars, imemaliza mechi zake za makundi fainali za CHAN 2024 kwa kutoka 0-0 na Jamhuri ya Afrika ya Kati mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Kutokana na matokeo hayo Taifa Stars imemaliza Kundi B ikiongoza ikiwa na pointi 10, baada ya kushinda michezo mitatu ya mwanzo.



Madagascar imeshika nafasi ya pili ikiungana na Stars kucheza robo fainali baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1, hivyo kufikisha pointi 7 sawa na Mauritania isipokuwa Madagascar ina uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news