TMA yapongezwa kwa utoaji wa huduma bora za hali ya hewa

DODOMA-Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Mhandisi Dkt. Prosper Mgaya ametembelea banda la TMA katika maonesho ya Kitaifa ya Wakulima NaneNane 2025 yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.
Mhandisi Dkt. Mgaya Katika ziara yake banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) aliipongeza kwa kazi nzuri inayofanywa na TMA alisema

"Nawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoifanya na watanzania wengi sasa wameweka imani kubwa kwa Mamlaka ya Hali ya Hewa kwasababu utabiri mnaotoa una uhalisia ukilinganisha na kipindi cha nyuma."

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news