Wanafunzi Brother Martin Dodoma wapewa elimu ya vipimo Nanenane

DODOMA-Wanafunzi wa Shule ya Msingi Brother Martin ya mkoani Dodoma wamepata elimu ya vipimo kutoka kwa Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA),Bi.Veronica Simba katika Banda la Wakala hiyo lililopo kwenye Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.
Moja ya mikakati ya WMA katika kupanua wigo wa utoaji elimu ya vipimo ni kuanzisha vilabu (clubs) za vipimo katika shule mbalimbali nchini ili kuwajengea uelewa wanafunzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news