Magazeti leo Septemba 15,2025

CHAMA  Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimeandaa mafunzo yatakayowakutanisha Wafanyakazi na Waajiri yanayojulikana kama “Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE yatakayofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 15-18 Septemba 2025.
Mafunzo hayo muhimu yanatarajia kuwakutanisha takribani washiriki 1000 kutoka kutoka Serikalini na Taasisi za Serikali na Binafsi ambapo walengwa wakuu ni pamoja na Wakuu wa Taasisi (Mamlaka za Ajira), Wakuu wa Idara, Viongozi wa Matawi ya TUGHE, Wawakilishi wa Makundi Maalum, Makatibu wa Afya/Matron/MOI/DMO/RMO, Maafisa Ustawi wa Jamii, Wanasheria na Maafisa Uhusiano wa Taasisi, Makatibu na Makatibu Wasaidizi wa Mabaraza ya Wafanyakazi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news